Msanii Diamond amesema licha ya kuweka gari yake namba maalumu (Private) imemfanya asisikie raha kutembea nayo, kwasababu kila mtu anajua kapita na hawezi kujiiba. Anashukuru hatadiriki tena kuiweka baada y Waziri wa Fedha kupendekeza bei mpya kwenye bajeti ya shilingi millioni 10 (kutoka shilingi milioni 5).
No comments:
Post a Comment